

hapa gemu limekwisha ngoma draw France vs uruguy

kigo and friend in greenpoint stadia

hawa sio wachezaji ni kikosi maalumu cha kurepair kiwanja wakati wa mapumziko wao wanacheki na kutengeneza mashimo yaliotoke na kuyarekebisha

hapa baada ya ku scan ticket yangu nakuonekana si famba tayari nipo ndani hahaha

tumekula poozy off time ngoma draw mie na mdogo wangu Kigo kapata zali ya kuiona kombe la dunia shukrani kwa kaka

kama kawa hapa sauz bila vuvuzela uwanjani hujakamilika

hapa foleni ya kuingia uwanjani ndo kwanza imeanza France va Uruguay cape town.world cup
No comments:
Post a Comment