



sasa hivi hapa sauz kila office unapoingia unakutana na mipira imezagaa kila kona na bendera za nchi zinazokuja kucheza ,kuazia hospitali bank maofisi ya binafsi na mitaani wametengeneza mipira ya mawe na ticket ndo imekuwa deal nimebahatika kupata kutoka kwa hawa jamaa waliokuwa wajenzi wa viwanja wamepewa bure tiketi wanaziuza kimazabe kwahio ninauhakika wa kushudia kinyanga'nyiro hicho.cheiki hapo juu mastadium yatakayo fanyika michezo hio
No comments:
Post a Comment