Friday, February 12, 2010

Hili ni container la Mrs Eric Best wangu na Mbongo mwezangu hapa Cape town lilikula nyundo na wasauz wakati wa Zenophobia wakakomba kila kitu ndani hawa jamaa ni noma lakini powa ilikuwa hakuna mtu pale kwahio maisha hayakupotea .lakini sasahivi biashara inaendelea kama kawa nalishatengenezwa.kidogo .wametulia hatujui lini wataanza zao zakuleta

No comments:

Post a Comment